MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 18 May 2017

VIDEO; KUMALIZIKA MITIHANI YA KIDATO CHA SITA KAGERA.



Mitihani ya kidato cha sita imekamilika leo kitaifa ambapo mkoa wa kagera umethibisha kuwa mtihani huo umemalizika  salama bila kuwepo udanganyifu wa aina yoyote.

Afisa Elimu mkoa wa Kagera Aloyce Kamamba amesema kuwa kwa mujibu wa taratibu, mitihani yote imefanyika salama na mpaka sasa kamati ya mtihani ya mkoa imesema hakuna tukio lolote ambalo limepokelewa kwamba kuna udanganyifu wowote ambao umefanyika katika kituo chochote mkoani humo.



VIDEO YA AFISA ELIMU MKOA KAGERA


Na Mwanaharakati.

No comments: