May 21 mwaka huu manispaa ya Bukoba imepata pigo la
kumpoteza dereva maarufu na mchezaji wa zamani wa timu ya Balimin Fc Badru Kaitaba,ambapo amefariki akiwa
Bugando hospital alipokuwa kwa ajili ya matibabu.
Madereva na wadau mbalimbali wa mkoa wa Kagera leo
wameungana katika mapokezi ya mwili wa marehemu Badru ambapo mazishi
yanatarajia kufanyika kesho katika maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya mazishi
mjini Bukoba{Kishenge}
TAZAMA MAPOKEZI
YALIVYOKUA…………………………………………………………
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment