MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 29 May 2017

VIDEO NA PICHA; WAOKOZI WAKUTANA NA WAKATI MGUMU KUZAMA KWA WATU MANISPAA YA BUKOBA

Mwili wa kijana Renatus Mecksad lieyekuwa na umri wa miaka 14 na alikuwa mwanafunzi wa darasa la tano katika shule ya msingi Bugambakamoi umeopolewa, huku mingine miwili ya Shabin Hamad mwenye umri wa miaka 12 na mwanafunzi wa darasa la nne katika shule ya msingi Bugambakamoi, pamoja na aliyeogelea kuwatafuta naye kuzama Olvis Frugence aliyekuwa na umri wa miaka 32, miili yao bado haijatafutwa.

Maofisa wa zimamoto wakizunguka kwenye bwawa lililotokana na uchimbaji wa changarawe
Ni umati wa wananchi wakisubiria kuona hatima ya upatikanaji wa miili au wawili hao wakiwa hai

Mama wa mtoto Renatus Mecksad akiondolewa kwenye eneo la tukio akingulia kilio baada ya kuona mwili wa mwanae

Na Mwanaharakati.

No comments: