MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday, 12 June 2017

IKULU; RIPOTI YA PILI YA MCHANGA WA MADINI (MAKINIKIA)



. Kamati yabaini makontena zaidi ya 61,000 kuwa na wastani wa kilo 28 kila kontena.

Katibu mkuu kiongozi balozi John Kijazi, amesoma hadidu za rejea juu ya kazi walioteuliwa na rais kuifanya, ambapo pamoja na mambo mengine, walitakiwa kurejesha taarifa za upembuaji wa makinikia.

Wajumbe wa kamati hiyo ni wanane Prof Nehemia Aliakimu, Prof Lovinus Kyaruz Rutasitara, Oswad Mashindano, Casmir Kiuki, Andrew Wilson Massawe, Gabriel Pascal, Benard Asubisye, Bi. Butamo Philp.

Kamati hiyo iliteuliwa na rais tarehe 29/03/2017, kuchunguza masuala ya kisheria kwenye makinikia kuanzia mwaka 1998 hadi mwaka 2017.


Na Mwanaharakati.

No comments: