MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday, 12 June 2017

RAIS AAGIZA WAHUSIKA WALIOTAJWA KWENYE RIPOTI WAHOJIWE NA VYOMBO VYA DOLA

Kutokana na mapendekezo yaliyotolewa na mwenyekiti wa kamati ya wanasheria na uchumi wa kuchunguza makinikia kwenye makontena ya mchanga wa dhahabu, rais Magufuli ameridhi mapendekezo hayo 20 na kuwa hatua zianze kuchukuliwa mara moja.


Na Mwanaharakati.

No comments: