BUKOBA
Kufuatia vitendo vya uhalifu vinavyoendelea katika maeneo
mbalimbali nchini Tanzania,mkoa wa Kagera umefanikiwa kufungua majalada ya
mauaji zaidi ya 140 kwa mwaka 2016 kitendo kinachodhihirisha utendaji mzuri wa
watumishi wa mahakama

Aidha amesema “mwaka
jana 2016 ofisi yangu ilifanikiwa kufungua majalada ya mauaji kwenye mahakama
kuu kufikia zaidi ya 140,na hii ni record katika nchi ambapo sio kitu rahisi kukipata”
Pia amezitaja changamoto wanazokumbana nazo kuwa ni pamoja
na malipo ya mashahidi wao kitendo kinachowakatisha tama baadhi ya mashahidi
huku akisema kuwa kiutaratibu na kisheria wanaotakiwa kulipa gharama hizo ni
mahakama.
MWISHO
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment