MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 20 July 2017

AUDIO; RAIS WA BURUNDI AWATAKA WAKIMBIZI WALIOKO TANZANIA KURUDI KWAO

Akizungumza katika mkutano wa hadhara wa rais Magufuli wilayani Ngara, Nkurunziza amesema kuwa hali imeimarika hivyo hakuna sababu ya watu hao kuendelea kuwa wakimbizi, na waache kusikiliza maneno ya wachochezi.

Naye rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amemwagiza waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania Mwigulu Nchemba, kuacha kutoa uraia kwa wakimbizi, na kuwashauri wakimbizi walioko hapa nchini kuondoka kwa hiari.

Ameyataka mashirika kuacha kuwahubiri wakimbizi kuwa Burundi kuna matatizo.


Na Mwanaharakati.

No comments: